Ndoa ni kkwanza kuelewana (sio fujo, mateke na ngumi)Ndoa ni kkwanza kuelewana (sio uwanja wa mapambano)Umtunze mkeo, umpende mmeoHuyo ndiye wako, kipenzi cha moyo wakoUmtunze mkeo, umpende mmeoJivunie chako, fuhara ya moyo wakoNawahasa msigoùbane tenaNa ndoa yenu msilie tena, uliyempata leo ndiye kipenzi chakoSiunajua mmekubalianaKweli ni kwamba nyie mnapendanaNdio maana tumekuja leoTumalize jambo lenuHivi unajua ilikuwajeMpaka huyo eva apatikaneHuyo eva alitoka kwenye ubavuUbavu wa mwanaumeAdamu kasema sasa huyu mifupa katika mifupa yanguNa nyama katika nyama yanguAtaitwa mwanamkeKwa hiyo sasa huyo mwanaume, atamuacha baba yakeAtamuacha baba yake na mama yake tenaAambatane na mkewe, wakaishi kwa fuharaWatakuwa mwili mmoja wataishi pamojaHivi unajua ilikuwaje huyu bi harusi apatikaneBwana harusi hatika amepambana ampate kipenzi chakeTwawaombea mkafurahi vicheko utani na raha nyingiWatu wote leo tuko hapa tumalize jambo lenuNdoa ni kwanza kuelewana (sio fujo, mateke na ngumi)Ndoa ni kkwanza kuelewana (sio uwanja wa mapambano)Umtunze mkeo, umpende mmeoHuyo ndiye wako, kipenzi cha moyo wakoUmtunze mkeo, umpende mmeoJivunie chako, fuhara ya moyo wakoWatu wamekuja kuwapa mji ndugu na rafikiWote wamefurahi kuwa hapa kwa ajili yenuBasi sasa msipigane mpendane mchukuliane mbebaneMvumiliane muwe wakufichiana siriUgomvi na hasira hasira msifanye mueleweshane kwa upoleMajibu mazuri upalilia upendoNa kwa sasa sisi tumeridhika taratibu zote mmezifataKama vile bwana mungu aliagiza, mfunge ndoa takatifuKikubwa sasa twawaombea mungu awape maisha marefuYenye baraka furaha pia upendo katika nyumba yenuBasi sasa msipigane mpendane, mchukuliane mbebaneMvumiliane muwe wakufichiana siriUgomvi na hasira hasira msifanye mueleweshane kwa upoleMajibu mazuri upalilia upendoUsimpige mkeo utakuwa wajipiga mwenyeweMaana sasa nyinyi ni mwili mmojaUtajiumiza mwenyewe asipoumia mwili atakua ameumia moyoNawe pia utajiumiza moyo, furaha ukosekanaNdoa ni kwanza kuelewana (sio fujo, mateke na ngumi)Ndoa ni kkwanza kuelewana (sio uwanja wa mapambano)Umtunze mkeo, umpende mmeoHuyo ndiye wako, kipenzi cha moyo wakoUmtunze mkeo, umpende mmeoJivunie chako, fuhara ya moyo wako